Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32481
In Process
Adv
Poll
Anonymous
Asked: June 21, 20192019-06-21T12:14:18+03:00 2019-06-21T12:14:18+03:00Afya

Kupiga punyeto kuna madhara?

Poll Results

100%Kuna nadhara ( 2 )
0%Hakuna madhara
Based On 2 Votes

Kupiga punyeto kuna madhara?

Kupiga punyeto kuna madhara?
  • 1
  • 1,043
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    2021-04-09T08:32:23+03:00Jibu - April 9, 2021 saa 8:32 am

    Haya ndio baadhi ya madhara ya kimwili ambayo nimeyapata kwa madaktari wasiotetea upigaji punyeto

    1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME:
    Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umelegea.

    2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO:
    Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya tendo la ndoa na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mwenzake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kufanya tendo hilo.
    Athari nyingine ni kama zifuatazo
    3.Uchovu wakati wote / Fatigue. Feeling tired all the time.
    4.Maumivu ya nyonga / Lower back pain.
    5.Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka / Thinning hair / Hair Loss
    6.Maumivu ya kende / Groin / Testicular Pain
    7.Maumivu ya kiuno / Pain / cramp in the pelvic cavity or/and tail bone
    Hizo ni baadhi ya nukuu zangu!

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    • Unaweza kutaja madhara ya pombe?

    • Nini kirefu cha AIDS?

    • Nini kirefu cha VVU?

    • Kirefu cha NHIF ni nini?

    • Kirefu cha UKIMWI ni nini?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.