Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32246
In Process
Poll
Anonymous
Asked: June 7, 20192019-06-07T09:49:56+03:00 2019-06-07T09:49:56+03:00Maisha, Uislamu, Ukristo

Kunywa pombe ni dhambi?

Poll Results

50%Ni dhambi ( 1 )
50%Sio dhambi ( 1 )
Based On 2 Votes

Kunywa pombe ni dhambi?

Kunywa pombe ni dhambi?
  • 2
  • 500
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Emmanuel Magessa

    Emmanuel Magessa

    • Mbeya, Tanzania
    • 1 Question
    • 32 Answers
    • 0 Best Answers
    • 66 Points
    View Profile
    Emmanuel Magessa Intermediate
    2020-11-29T15:17:36+03:00Jibu - November 29, 2020 saa 3:17 pm

    Neno la Mungu katika andiko la 1PETRO 4:2-5. Linatufundisha na kutuonya waziwazi kuwa mbali kabisa na ulevi na kutumia vileo. Kabla ya kuokoka hapo mwanzoni yamkini tulikuwa tunaishi katika maisha ya ulevi na kutumia vileo na mambo mengi ya tamaa ya uasherati au uzinzi. Hayo ni maisha ya gizani kabla ya kuokoka. Lakini baada ya kuokoka tunakuwa tumetolewa huko gizani na kuingizwa nuruni. Neno la Mungu limetuonya hatuwezi tena kuendelea kuyaishi yale maisha ya gizani ya kuwa wenye tamaa, walevi na kutumia vileo nakadhalika. Tumekatazwa! Na wale wanayoyashiriki hayo ya ulafi, ULEVI na VILEO. Mungu atawahukumu kabisa!

    HUWEZI KUSEMA UMEOKOKA huku unaendelea kunywa pombe. Eti kunywa kidogo usilewe! La hasha!

    Kuna watu wengi ambao watawafundisha watu na kusema kunywa pombe kidogo usilewe siyo dhambi. Kuzoelea na kunywa pombe kupita kiasi/kiwango ndio dhambi . Lakini ukitimia pombe kwa kiasi siyo dhambi, haina shida.

    Na watatumia maandiko yao katika Biblia kwa kuyatafsiri isivyo kiupotofu, ili kuwapotosha waumini wao , kwa kuihalalisha pombe .

    Wachungaji, maaskofu, waanijilisti, waalimu au hao wanaojiita watumishi wa Mungu wanaojaribu kuitetea pombe kwa namna yoyote ile iwe kidogo au sana. Hao ni watumishi uchwara tu, ni maajenti wa shetani. NI WAPOTOSHAJI WAKUBWA katika kanisa wanaotumiwa na Ibilisi kuzipoteza roho za watu kwa mafundisho yao potofu kinyume na ukweli wa Neno la Mungu Biblia.

    1 TIMOTHEO 4:1-2:-” Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, WAKISIKILIZA ROHO ZIDANGANYAZO, na mafundisho ya mashetani; kwa unafiki wa watu wasemao uongo , wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe”.

    2 PETRO 2:1-3:-“Lakini kuliondokea MANABII WA UONGO katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako WAALIMU WA UONGO, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia. Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa hao njia ya kweli itatukanwa. Na katika kutamani watajipatia faida kwenu KWA MANENO YALIYOTUNGWA; ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala uvunjifu wao hausinzii”.

    Mtu yoyote anayetetea pombe kwa kuhailalisha eti kwa kiasi , huyo ni mtumishi wa Mungu fake anayeingia kwa wewerevu wake UZUSHI WA KUPOTEZA kinyume na ukweli wa maandiko kimsingi.

    Lakini ukweli halisi ni kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE AMBAPO BIBLIA IMEIHALALISHA POMBE kwa namna yoyote iwe kwa matumizi ya sana au kidogo , kupita kiasi/kiwango au kutovuka kiwango/kiasi. Bado mbele za Mungu hata kuionya tu pombe ni kosa, ni dhambi.

    Huo ndio ukweli halisi wala mtu awaye yote asije kukudanganya wewe usomaye ujumbe huu.

    Biblia inakuambia katika WAKOLOSAI 2:4,8:-” Nasema neno hili, MTU ASIJE AKAWADANGANYA kwa maneno ya kushawishi. Angalieni MTU asije akawafanya mateka kwa Elimu yake ya bure na MADANGANYO MATUPU, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.”

    Narudia tena kwa msisitizo Mkubwa watumishi wanaoilahalisha pombe kwa namna yoyote ile. HAO NI WAPOTOSHAJI NA VIPOFU WA KIROHOwanaotumiwa na Ibilisi kuwadanganya watu au kulipotosha kanisa. Mkristo uliyeokoka uwe makini!

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – AjiraSearch

    Ajira ya Ndoto Yako

    Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.

    Tazama App
  3. Rickyllobbe

    Rickyllobbe

    • Dodoma, Tanzania
    • 66 Questions
    • 156 Answers
    • 0 Best Answers
    • 712 Points
    View Profile
    Rickyllobbe Proffesional
    2020-01-04T22:16:47+03:00Jibu - January 4, 2020 saa 10:16 pm

    Kunywa pombe sio dhambi lakini dhambi ni matendo utakayoyafanya baada ya kunywa pombe

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

      • Majibu 4
    • Mambo gani ambayo yanaweza kunisaidia siku moja?

      • Majibu 3
    • Katika 1 Timotheo 5:23, kwa nini mvinyo umeruhusiwa?

      • Majibu 0
    • Nawezaje kutekeleza malengo niliyojiwekea?

      • Jibu 1
    • Kuna faida gani katika kujitolea?

      • Jibu 1
    • Mistari ipi ya Biblia inaelezea maswala ya kodi?

      • Majibu 0
    • Dini ya Uislamu ilikuwepo tangu mwanzo wa dunia au ililetwa na Mtume Muhammad (S.A.W)?

      • Jibu 1
    • Ivi kusingekua na dini kungekuwa na dhambi?

      • Jibu 1
    • Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?

      • Jibu 1
    • Kitabu gani cha Biblia kinamzungumzia Yesu?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.