Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30292
In Process
Adv
Anonymous
Asked: March 8, 20192019-03-08T01:45:23+03:00 2019-03-08T01:45:23+03:00Kompyuta

Kuna madhara gani kutuma Windows cracked?

Kuna madhara gani kutuma Windows cracked?
  • 1
  • 623
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2020-04-13T08:51:47+03:00Jibu - April 13, 2020 saa 8:51 am

    Ukidownload microsoft windows ile image.iso ndani ukiiiexctract utakuta folders tofauti ikiwemo boot, setup n.k

    sasa hawa mbwa wanatumia software inayoitwa “z~cry binders” kubind setup na boot exe. kwamaana kwamba

    wewe user ukiinstall windows inasend two files

    1. ni backdoor 1 hii inaenda jificha kwenye c:UsersPublic

    2. ni backdoor 2 (ransomewr) hii inaenda jificha kwenye c:Windowssystem32

    sasa inafanyaje kaziiiii…?

    baada ya kujijificha wewe user lazima uunge pc yako na internet ili ufanye shughuli zako ..sasa ukiingia kwenye net hizi backdoors zinafanya connection na server yao na kutengeneza lifetime access

    je unajua how?

    okay kwenye windows microsoft kuna kitu kinaitwa system registry na hizi zinaenda backdoor zinaatack preccessor ku add new registry kwenye c:HKLMSOFTWAREMICROSOFTWINDOWSCURRENTVERSSIONRUN

    Ina add backdooor 2 na baada ya kufanya hivo ni kwamba user kila akiwasha pc server yao inapata taarifa na kuanzisha connection na wanaweza kutransfer hata datas

    sasa ransomeware wanakuwa activated vipi ….?

    hii system ikianzisha connection only server yao ndo inauwezo wa kuactivated ile binded ransomwr kustart

    na hapa kama ukiwa na datas zako za kazini au kwenye kampuni yako zinakuwa encrpted na huwez ku unlock mpKA utume kiasi cha pesa ….

    sa this is extremely dangerous especiall kama umeinstall a particular windows kwenye pcs zote za kazini au officine au computr binafsi Ambazo ziko on LAN or WAN.

    watu wengi mtakuwa na maswalii ikiwemo haya yafuatyo….

    1. nitajuaje kama niko affected?

    JIBU: kwanza utona mabadiliko kwnye baadhi ya sehemu mfano ….process usage PC Itakuwa na high power usage

    ukienda kwenye monitor activity zako za pc utaona hizi backdoor mbili zikiwa na description ya kampu husika….au fungua CMD type netstat -ano utaona established connection kwenye port 8989,8734,5612

    2. nitawezaje kujizuia?

    JIBU : njia nzuri ni kutumia activirus updated na kuacha kuinstall software from unknown developers

    3.je kama cracked je si lazima uzime antivirus …hapo itakuaje?

    JIBU ni kwamba TUMIA software zitokanazo na kutolewa na developer husika mfano microsoft n.k?

    4. umejuaje hizi habari?

    binafsi nimekuwa nikichuinguza hii kitu kwa muda wa miezi mitatu sasa , nachunguza sana platform za virus wakubwa na pia ni mtengenezaji wa powerful ransomewares kwa kutumia C# PROGRAMMING na hawa watu mmoja wao niliwahi kuwasiliana naye na kunishawishi kufanya naye kazi kama mnavyoona kwenye picha chini…na server yao ipo shared na web kubwa kam get into pc na comfart softwares free.

    so ndugu kuwa makini sana usije ukaingia mikononi mwa hawa watu ….kwasabbu kama ukiwa unatumia pc ya kazin na kuna docs muhimu …itakuwa ni hatar

    ni hayo tu

    Thefreedom

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje ku download app store kwenye PC?

    • Nawezaje ku install Gmail kwenye PC?

    • Programu nzuri ya kuedit picha kwenye PC ni ipi?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Nawezaje ku download Android Studio?

    • Nawezaje kufuta history ya computer?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.