Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34408
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 8, 20202020-01-08T10:04:48+03:00 2020-01-08T10:04:48+03:00Kodi, TRA

Kodi ya ongezeko la thamani(VAT) inatozwaje?

Kodi ya ongezeko la thamani(VAT) inatozwaje?
  • 1
  • 227
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-01-08T10:05:35+03:00Jibu - January 8, 2020 saa 10:05 am

    Kila mtu aliyesajiliwa kwenye Kodi ya Ongezeko la Thamani katika mlolongo kati ya msambazaji wa kwanza na mnunuzi au mtumiaji wa mwisho, anatozwa kodi kwenye bidhaa alizouziwa (kodi kwenye manunuzi) na atatoza kodi kwa bidhaa atakazo uza (kodi kwenye mauzo). Analipa Mamlaka ya Mapato ziada ya kodi kwenye mauzo juu ya kodi kwenye manunuzi, au anarudishiwa ziada ya kodi kwenye manunuzi juu ya kodi kwenye mauzo. Katika mfumo huu biashara huwa haziathiriki isipokuwa mfanyabiashara anatakiwa kukusanya kodi hiyo kutoka kwa mnunuzi na kuiwasilisha TRA.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • VAT Tanzania ni asilimia ngapi?

    • Mistari ipi ya Biblia inaelezea maswala ya kodi?

    • Masharti ya TRA yakoje katika kuanzisha biashara?

    • Nawezaje kupata TIN kwa ajili ya biashara yangu?

    • TIN namba ni nini?

    • Viwango vya kodi ya VAT vikoje?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.