Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32471
In Process
Adv
Poll
Anonymous
Asked: June 20, 20192019-06-20T04:47:04+03:00 2019-06-20T04:47:04+03:00Afya, Mazoezi

Je kufanya mazoezi ni halali ki Biblia?

Poll Results

75%Ni halali ( 3 )
25%Si halali ( 1 )
Based On 4 Votes

Je kufanya mazoezi ni halali ki Biblia?

Je kufanya mazoezi ni halali ki Biblia?
  • 1
  • 807
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Emmanuel Magessa

    Emmanuel Magessa

    • Mbeya, Tanzania
    • 1 Question
    • 30 Answers
    • 0 Best Answers
    • 58 Points
    View Profile
    Emmanuel Magessa Intermediate
    2021-04-09T08:23:21+03:00Jibu - April 9, 2021 saa 8:23 am

    Neno la Mungu linatufundisha umuhimu wa kufanya mazoezi ki-mwili. Tena wataalamu wanasema mazoezi ni Afya. Biblia inasema katika

    1 T I M O T H E O 4:8:-

    “Kwa maana kujizoeza kupata nguvu za mwili kwafaa kidogo, lakini utauwa hufaa kwa mambo yote; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye”.

    Mstari huo katika tafsiri ya kiingereza ya New Kings James Version, unasomeka hivi :-

    1 T I M O T H Y 4:8:-

    ” For BODILY EXERCISE profit a little, but godliness is profitable for all things, having promise of the life that now is and of that which is to come”

    Kwahiyo kufanya mazoezi ya aina yoyote ya viungo kwa lengo la kuimarisha Afya ya mwili wako. Ni kitu chema na kilicho katika mapenzi ya Mungu. Biblia inaendelea kusema :-

    3 Y O H A N A 1:2

    ” Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote NA KUWA NA AFYA YAKO , kama vile roho yako ifanikiwavyo.”

    NB

    Ni muhimu kuweza kuelewa vizuri na kutofautisha. Unapoamua kufanya mazoezi ya kucheza mpira wewe kama wewe kwa lengo tu la kuuweka mwili wako sawa ki-afya, kufanya hivyo siyo dhambi .

    Lakini mpira unapochukua sura nyingine ya ligi za mashindano ya mechi. Hapo ndani yake kunakuwa na matatizo makubwa ambayo huzaa dhambi nyingi zitokanazo na mpira. Biblia inasema katika WAFILIPI 2:3:-” MSITENDE NENO LO LOTE KWA KUSHINDANA wala kwa majivuno, bali kwa unyenyekevu , kila mtu na amuhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake”. Hatupaswi kufanya NENO LOLOTE KWA KUSHINDANA ili nani aonekane yeye ni bora zaidi kuliko mwingine. Mungu hayuko katika hali hiyo. Na Kama watu tuliookoka kwa msingi huo pia hatupaswi kushiriki wala kujihusisha na mashindano ya ligi/mechi za mipira.

    Tucheze mpira kama mazoezi tu lakini tusicheze mpira kama mashindano fulani. Tusishabikie mpira wala kujihusisha na mashindano ya ligi za mpira. Kupitia mashindano ya ligi za mechi huzaliwa dhambi nyingi kama vile Rafu, ugomvi, bifu, matusi, fujo, kiburi, tamaa, ubaya n. k. Hapo tena sio mazoezi bali ni kitu kingine kinachotafutwa.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    • Unaweza kutaja madhara ya pombe?

    • Nini kirefu cha AIDS?

    • Nini kirefu cha VVU?

    • Kirefu cha NHIF ni nini?

    • Kirefu cha UKIMWI ni nini?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.