Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31113
In Process
Anonymous
Asked: May 1, 20192019-05-01T09:44:50+03:00 2019-05-01T09:44:50+03:00Internet

Internet iligunduliwa mwaka gani?

Internet iligunduliwa mwaka gani?
  • 1
  • 773
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 377 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2019-06-20T03:56:07+03:00Jibu - June 20, 2019 saa 3:56 am

    Ni ngumu kujibu moja kwa moja kuwa iligundulika lini kutokana na kwamba  siwezi jua ni namna gani unataka jibu lako. Lakini naweza liweka hivi wazo la
    kwanza kabisa kuhusu internet(kabla haijawa internet kama ilivvyo sasa) Nikola Tesla alitengeneza wireless system ya kwanza kama toy tu katika miaka ya mwanzo ya 1900.

    Miaka iliyoendelea hapo internet ilizidi kupita katika vizazi tofauti tofauti na ilitumika rasmi kama innternet ya dunia yote kuanzia mwaka 1990.

    Kwa Tanzania inasemekana kuwa internet ilifika au ilianza kutumiaka mnamo mwaka 1995. Na mpaka baada ya miaka mitano(5) yani mpaka mwaka 2000 ni watu 115,000 ndio waliokua wameunganishwa na internet ukilinganisha na sasa ambapo watu zaidi ya milioni 6 wanaotumia internet.

    vyanzo: History.com na The Citizen tz

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Unaizungumziaje Bluehost katika kutengeneza website?

      • Majibu 0
    • Kuna hosting za bure?

      • Jibu 1
    • Hosting bora zaidi ni ipi?

      • Jibu 1
    • Waptrick ni nini?

      • Majibu 0
    • Yinga Media ni nini?

      • Majibu 0
    • Nawezaje kununua domain name kwa ajili ya blog yangu?

      • Jibu 1
    • Kampuni gani ya hosting ni nzuri Tanzania?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kutengeneza website kwa kutumia WordPress?

      • Jibu 1
    • Mtandao wa 4G maana yake nini?

      • Jibu 1
    • Mambo gani ya kuzingatia katika kuomba kazi serikalini kwa njia ya mtandao?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.