Hosting bora zaidi ni ipi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
ChuiTec
Napendekeza hizi hapa
1.BlueHost (2.95$)
Unataka hosting nafuu zaidi na yenye ubora?. Basi Bluehost ndio jibu lako. Utalipia $2.95 kwa mwezi ambayo ni sawa na $35.4 ama Tsh 82,000 kwa mwaka.
Faida
Host website yako na Bluehost sasa
2.FastComet (3.45$)
Ukihost website/blog yako kupitia FastComet utalipia $3.45 kwa mwezi ambayo ni sawa na $41.4 yaani Tsh 96,000 kwa mwaka.
Faida
Host website yako na Fastcomet sasa
3. Namecheap (1.44$)
Hosting nyingine inayoweza kukupa unafuu katika kazi yako ni Namecheap. Utahitajika kulipa 1.44$ kwa mwezi ikiwa ni $17.28 au Tsh 40,000 kwa mwaka. Domains zinazopatikana bure katika kifurushi hiki ni .fun .host .online .site .press .store .space .pw .tech
Faida
Host website yako na Namecheap sasa
4.DreamHost (2.59$)
DreamHost inaweza kukamilisha ndoto yako ya kuwa online kwa kukupatia hosting nafuu inayoanzia $2.59 kwa mwezi. Hii inamaanisha ni $31.8 au Tsh 72,000 kwa mwaka wa kwanza.
Faida
Host website yako na Dreamhost sasa
5.Kilihost (Tsh25,000)
Hosting ya Tanzania ya pekee katika list hii. Kilihost inakupa unafuu sana wa kuanza safari ya kuwa mtandaoni. Bei zao zinaanzia Tsh 25,ooo kwa mwaka mzima
Faida
Host website yako na Kilihost sasa
Mwisho kabisa ni vyema ukawa makini sana katika kuchagua kampuni ya kuhost kwa ajili ya blog au website yako. Kama bado una maswali ama unahitaji muongozo katika kuchagua ama kujiunga na moja ya hosting Chat na mimi sasa