Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32528
In Process
Adv
Anonymous
Asked: June 27, 20192019-06-27T13:14:16+03:00 2019-06-27T13:14:16+03:00Afya, Urembo/Utanashati

Faida za mafuta ya mawese kwenye ngozi ni zipi?

Faida za mafuta ya mawese kwenye ngozi ni zipi?
  • 1
  • 3,922
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Anita
    2020-02-14T10:53:42+03:00Jibu - February 14, 2020 saa 10:53 am

    Mafuta ya mawese ama palm oil yana faida nyingi tu kwa ajili ya ngozi yako

    Yanalainisha ngozi na kuiacha ikiwa na unyevu unyevu

    Siku hizi sabuni, shampoo na mafuta mengi yanayotengenezwa viwandani yanakua yanatumia mafuta ya mawese kama malighafi ya kutengenezea. Hii ni kwa sababu ya ubora wake na suluhisho katika maswala yanayohusu ngozi.

    Yana virutubisho vinavyoweza kuponesha ngozi iliyochomwa na jua na yenye michirizi.

    Kama ilivyo kwa mafuta mengine halisi mafuta ya mawese ni bora sana kwa kuwa na virutubisho ambavyo ni asilia yani natural

    Vitamin E
    Haya mafuta yana vitamin E inayojulikana kama tocotrienols. Tocotrienols imefanyiwa utafiti na ikagundulika kuwa ina nafasi katika kuishinda saratani(cancer) na magonjwa ya ubongo na moyo.

    Pia inasaidia kujikinga na jua kali na kupunguza makovu. Hii ni kutokana na faida za tocotrienols iliyotajwa hapo juu.

    Vitamin K: Hii inasaidia ngozi iweze kuwa na uwezo zaidi wa kujiponya yenyewe mfano katika vidonda vidogo dogo na kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji.

    Glycolipids: Hii inasaidia kuifanya ngozi kuwa vizuri kuepuka ngozi kukakamaa au kuwa na ngozi ya uzee.

    • -2
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    • Unaweza kutaja madhara ya pombe?

    • Nini kirefu cha AIDS?

    • Nini kirefu cha VVU?

    • Kirefu cha NHIF ni nini?

    • Kirefu cha UKIMWI ni nini?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.