Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30095
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 22, 20192019-02-22T11:40:27+03:00 2019-02-22T11:40:27+03:00Dodoma, Vyuo

Chuo cha Madini Dodoma kipo vipi?

Chuo cha Madini Dodoma kipo vipi?
  • 1
  • 636
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 366 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2019-04-27T06:02:17+03:00Jibu - April 27, 2019 saa 6:02 am

    Chuo cha madini dodoma(MRI) kipo vizuri, chuo hiki kina sifa kubwa sana katika kutoa wataalamu wengi wanaofanya vizuri katika sehemu zao za kazi, na kinasifika zaidi kwa kufanya mafunzo yake kwa vitendo. Ni chuo pekee katika ukanda huu wa Africa mashariki na kati kinachotoa stashahada na astashahada katika sekta ya madini pamoja na petroleum.

    Chuo kipo miyuji Dodoma mjini karibu na chuo cha Mipango katika njia inayoelekea kambi ya jeshi ya Makutupora.

    Kusoma zaidi kuhusu chuo cha Madini soma hapa chini

    Chuo cha Madini Dodoma – Mineral Resource Institute ( MRI- Dodoma )

    • 2
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • kirefu cha NACTE ni nini?

    • Nawezaje kukumbuka nilichokisoma?

    • Taratibu za udahili katika Chuo cha Maendeleo na Usimamizi wa Maji ni zipi

    • Contacts za Ruaha Catholic University ni zipi?

    • Vyuo vilivyosajiliwa na NACTE ni vipi?

    • Unazo contacts za Arusha Technical College?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.